Saturday, June 25, 2016

WALIOCHAGULIWA MASOMO YA KIDATO CHA TANO SERIKALI NA VYUO

WALIOCHAGULIWA MASOMO YA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SERIKALI NA VYUO MWAKA 2016.
JUMLA YA WANAFUNZI 129 KUTOKA AIRPORT SECONDARY MBEYA WAMECHAGULIWA.

Friday, March 18, 2016

NAFASI ZA MASOMO YA KIDATO CHA TANO MWAKA 2016.

Uongozi wa shule ya sekondari Airport Mbeya unawatangazia wazazi, wanafunzi na wananchi wote, kuwa fomu za kujiunga na kidato cha tano 2016 zimeanza kutolewa rasmi.
Michupuo (combinations)
HGL
HGK
HKL
Fomu zinapatikana shuleni Airport high school mbeya(Tshs. 15,000/=), Airport ya zamani kilometre 2 kutoka mafiati au eso barabara kuu ya Tanzania Zambia.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia Namba 0763673214 au  0755052640

Monday, March 7, 2016

MASOMO YA KIDATO CHA TANO NA SITA.

SHULE YA SEKONDARI YA AIRPORT MBEYA TANGU MWAKA JANA (2015) ILIANZISHA RASMI MASOMO YA KIDATO CHA TANO. MICHEPUO YA SANA
HGL HGK NA HKL.

Saturday, February 27, 2016

https://www.facebook.com/Airport-High-School-Mbeya-173794419427878/

Thursday, February 25, 2016

Matokeo kidato cha nne 2015

http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/CSEE2015/results/s2378.htm

Matokeo ya kidato cha nne 2015.

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE AIRPORT HIGH SCHOOL MBEYA 2015
DIVISION ONE 2
DIVISION TWO 75
DIVISION THREE  72
DIVISION FOUR 13
DIVISION ZERO 0
NAFASI YA SHULE KATIKA MKOA WA MBEYA NI YA 19 KATI YA SHULE 270.